Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Adiyat Ayahs #7 Translated in Swahili

فَالْمُغِيرَاتِ صُبْحًا
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
فَأَثَرْنَ بِهِ نَقْعًا
Huku wakitimua vumbi,
فَوَسَطْنَ بِهِ جَمْعًا
Na wakijitoma kati ya kundi,
إِنَّ الْإِنْسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!

Choose other languages: