Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ghashiya Ayahs #18 Translated in Swahili

وَأَكْوَابٌ مَوْضُوعَةٌ
Na bilauri zilizo pangwa,
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلَا يَنْظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?

Choose other languages: